2 Wafalme 7:1
Al-Yasa akasema, “Sikiliza neno la Mwenyezi Mungu. Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- סְאָהçᵉʼâha seah, or certain measure (as determinative) forgrain
- שְׂעֹרָהsᵉʻôrâhbarley (as villose)
- מָחָרmâchârproperly, deferred, i.e. the morrow; usually (adverbially) tomorrow; indefinitely, hereaft
- שֶׁקֶלsheqelprobably a weight; used as a commercial standard
- אֱלִישָׁעʼĔlîyshâʻElisha, the famous prophet
- סֹלֶתçôlethflour (as chipped off)
- שֹׁמְרוֹןShômᵉrôwnShomeron, a place in Palestine
- עֵתʻêthtime, especially (adverb with preposition) now, when, etc.
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
