2 Wafalme 6:8
Wakati huo mfalme wa Aramu alikuwa akipigana vita na Israeli. Baada ya kukubaliana na maafisa wake, akasema, “Nitapiga kambi yangu mahali fulani na fulani.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- תַּחֲנָהtachănâh(only plural collectively) an encampment
- אַלְמֹנִיʼalmônîysome one (i.e. so and so, without giving the name of the person or place)
- פְּלֹנִיpᵉlônîysuch a one, i.e. a specified person
- יָעַץyâʻatsto advise; reflexively, to deliberate or resolve
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- לָחַםlâchamto feed on; figuratively, to consume; by implication, to battle (as destruction)
- מָקוֹםmâqôwmproperly, a standing, i.e. a spot; but used widely of a locality (general or specific); al
- עֶבֶדʻebeda servant
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
