2 Wafalme 4:27
Alipomfikia huyo mtu wa Mungu pale mlimani, akashika miguu yake. Gehazi akaja ili amwondoe, lakini yule mtu wa Mungu akasema, “Mwache! Yuko katika uchungu mkubwa, lakini Mwenyezi Mungu amenificha jambo hili na hajaniambia kwa nini.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- הָדַףHâdaphto push away or down
- גֵּיחֲזִיGêychăzîyGechazi, the servant of Elisha
- מָרַרmârarto be (causatively, make) bitter (literally or figuratively)
- עָלַםʻâlamto veil from sight, i.e. conceal (literally or figuratively)
- רָפָהrâphâhto slacken (in many applications, literal or figurative)
- נָגַשׁnâgashto be or come (causatively, bring) near (for any purpose); euphemistically, to lie with a
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
- חָזַקchâzaqto fasten upon; hence, to seize, be strong (figuratively, courageous, causatively strength
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.