2 Wafalme 3:13
Al-Yasa akamwambia mfalme wa Israeli, “Nina uhusiano gani nawe? Nenda kwa manabii wa baba yako na manabii wa mama yako.” Mfalme wa Israeli akajibu, “La, sivyo, kwa sababu ni Mwenyezi Mungu ametuita pamoja sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa Moabu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- אֱלִישָׁעʼĔlîyshâʻElisha, the famous prophet
- מוֹאָבMôwʼâbMoab, an incestuous son of Lot; also his territory and descendants
- אֵםʼêma mother (as the bond of the family); in a wide sense (both literally and figuratively (li
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
- קָרָאqârâʼto call out to (i.e. properly, address by name, but used in a wide variety of applications
- יָלַךְyâlakto walk (literally or figuratively); causatively, to carry (in various senses)
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ki 22:6, 1Ki 18:19, Deu 32:37–39, 1Ki 22:10–11, 2Ki 3:10, 1Ki 22:22–25, 2Co 5:16, Ezk 14:3–5
