2 Wafalme 25:23
Maafisa wote wa jeshi na watu wao waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemteua Gedalia kuwa mtawala, wakamjia Gedalia huko Mispa. Hawa walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka, pamoja na watu wao.2 Wafalme 25:23 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- תַּנְחֻמֶתTanchumethTanchumeth, an Israelite
- יַאֲזַנְיָהYaʼăzanyâhJaazanjah, the name of four Israelites
- מַעֲכָתִיMaʻăkâthîya Maakathite, or inhabitant of Maakah
- נְטֹפָתִיNᵉṭôphâthîya Netophathite, or inhabitant of Netophah
- קָרֵחַQârêachKareach, an Israelite
- שְׂרָיָהSᵉrâyâhSerajah, the name of nine Israelites
- נְתַנְיָהNᵉthanyâhNethanjah, the name of four Israelites
- יוֹחָנָןYôwchânânJochanan, the name of nine Israelites
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

