MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 25:19

Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua kiongozi wa wapiganaji, na washauri watano wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.

Soma katika muktadha

2 Wafalme 25:19 katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

Est 1:14

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/25/19" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 25:19 — MEGA.Bible"></iframe>