MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 25:17

Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane. Sehemu ya shaba juu ya nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tatu na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na wavu wake ilifanana na hiyo ya kwanza.

Soma katika muktadha

2 Wafalme 25:17 katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

1Ki 7:15–22, Jer 52:21–23

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/25/17" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 25:17 — MEGA.Bible"></iframe>