MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 23:19

Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, Yosia akabomoa nyumba za ibada katika mahali pa juu pa kuabudia, ambazo wafalme wa Israeli walikuwa wamejenga ndani ya miji ya Samaria, na ambazo zilikuwa zimemghadhibisha Mwenyezi Mungu.

Soma katika muktadha

2 Wafalme 23:19 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/23/19" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 23:19 — MEGA.Bible"></iframe>