MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 18:4

Akapaondoa mahali pa juu pa kuabudia, akazivunja sanamu, akakatakata nguzo za Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ya shaba Musa aliyotengeneza, kwa kuwa hadi siku hizo Waisraeli walikuwa wanaifukizia uvumba. (Ilikuwa ikiitwa Nehushtani).

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Kilichobaki

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/18/4" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 18:4 — MEGA.Bible"></iframe>