2 Wafalme 18:4
Akapaondoa mahali pa juu pa kuabudia, akazivunja sanamu, akakatakata nguzo za Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ya shaba Musa aliyotengeneza, kwa kuwa hadi siku hizo Waisraeli walikuwa wanaifukizia uvumba. (Ilikuwa ikiitwa Nehushtani).Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נְחֻשְׁתָּןNᵉchushtânsomething made of copper, i.e. the copper serpent of the Desert
- כָּתַתkâthathto bruise or violently strike
- מַצֵּבָהmatstsêbâhsomething stationed, i.e. a column or (memorial stone); by analogy, an idol
- נָחָשׁnâchâsha snake (from its hiss)
- אֲשֵׁרָהʼăshêrâhAsherah (or Astarte) a Phoenician goddess; also an image of the same
- בָּמָהbâmâhan elevation
- נְחֹשֶׁתnᵉchôshethcopper, hence, something made of that metal, i.e. coin, a fetter; figuratively, base (as c
- קָטַרqâṭarto smoke, i.e. turn into fragrance by fire (especially as an act of worship)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Kilichobaki
- The dismantled horned altar of BeershebaImethibitishwa na ardhiA monumental sacrificial altar at a Judahite provincial centre was deliberately dismantled and its stones reused, in the eighth century.
Marejeleo mtambuka
2Ch 31:1, Num 21:8–9, 2Ki 18:22, Deu 7:5, 1Ki 15:12–14, 1Ki 3:2–3, 1Ki 22:43, Jdg 6:25