2 Wafalme 17:7
Yote haya yalitukia kwa sababu Waisraeli walikuwa wametenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu, Mungu wao, aliyekuwa amewapandisha kutoka Misri akiwatoa chini ya utawala wa nguvu wa Farao mfalme wa Misri. Waliabudu miungu mingine,Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- אַחֵרʼachêrproperly, hinder; generally, next, other, etc.
- חָטָאchâṭâʼproperly, to miss; hence (figuratively and generally) to sin; by inference, to forfeit, la
- פַּרְעֹהParʻôhParoh, a general title of Egyptian kings
- יָרֵאyârêʼto fear; morally, to revere; caus. to frighten
- מִצְרַיִםMitsrayimMitsrajim, i.e. Upper and Lower Egypt
- עָלָהʻâlâhto ascend, intransitively (be high) or actively (mount); used in a great variety of senses
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
- מֶלֶךְmeleka king
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 23:16, Neh 9:26, Psa 106:35–41, Jer 10:5, Exo 20:2, Jdg 2:14–17, 2Ch 36:5, 2Ch 36:14–16
