2 Wafalme 17:16
Wakayaacha maagizo yote ya Mwenyezi Mungu, Mungu wao, na kujitengenezea sanamu mbili, walizozisubu katika sura ya ndama na nguzo ya Ashera. Wakasujudia mianga yote ya angani, na wakamtumikia Baali.2 Wafalme 17:16 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מַסֵּכָהmaççêkâhproperly, a pouring over, i.e. fusion of metal (especially a cast image); by implication,
- עֵגֶלʻêgela (male) calf (as frisking round), especially one nearly grown (i.e. a steer)
- אֲשֵׁרָהʼăshêrâhAsherah (or Astarte) a Phoenician goddess; also an image of the same
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- מִצְוָהmitsvâha command, whether human or divine (collectively, the Law)
- שָׁחָהshâchâhto depress, i.e. prostrate (especially reflexive, in homage to royalty or God)
- עָזַבʻâzabto loosen, i.e. relinquish, permit, etc.
- עָבַדʻâbadto work (in any sense); by implication, to serve, till, (causatively) enslave, etc.
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.