MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 16:7

Ahazi akatuma wajumbe kumwambia Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru kwamba, “Mimi ni mtumishi na mtumwa wako. Njoo na uniokoe kutoka mkononi mwa mfalme wa Aramu na wa mfalme wa Israeli, ambao wananishambulia.”

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

Ahaz

Kilichobaki

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/16/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 16:7 — MEGA.Bible"></iframe>