MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 12:21

Maafisa waliomuua walikuwa Yozabadi mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri. Akafa na akazikwa na baba zake katika Mji wa Daudi. Naye Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

Soma katika muktadha

2 Wafalme 12:21 katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

2Ch 24:26–27, 2Ki 14:1

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/12/21" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 12:21 — MEGA.Bible"></iframe>