2 Wafalme 10:27
Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo.2 Wafalme 10:27 katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- מַחֲרָאָהmachărâʼâha sink
- מוֹצָאָהmôwtsâʼâha family descent; also a sewer
- מַצֵּבָהmatstsêbâhsomething stationed, i.e. a column or (memorial stone); by analogy, an idol
- נָתַץnâthatsto tear down
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
- בַּיִתbayitha house (in the greatest variation of applications, especially family, etc.)
- יוֹםyôwma day (as the warm hours), whether literal (from sunrise to sunset, or from one sunset to
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Dan 2:5, Ezr 6:11, Dan 3:29, 1Ki 16:32, 2Ch 34:3–7, 2Ki 23:7–14, Deu 7:25, Deu 7:5