2 Wafalme 10:19
Sasa waiteni manabii wote wa Baali, watumishi wake wote na makuhani wake wote. Hakikisheni kwamba hakuna hata mmoja atakayekosekana, kwa sababu ninaenda kutoa kafara kubwa sana kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataendelea kuishi.” Lakini Yehu alifanya hivyo kwa hila ili apate kuwaangamiza watumishi wote wa Baali.2 Wafalme 10:19 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- עׇקְבָהʻoqbâhtrickery
- יֵהוּאYêhûwʼJehu, the name of five Israelites
- בַּעַלBaʻalBaal, a Phoenician deity
- זֶבַחzebachproperly, a slaughter, i.e. the flesh of an animal; by implication, a sacrifice (the victi
- אָבַדʼâbadproperly, to wander away, i.e. lose oneself; by implication to perish (causative, destroy)
- חָיָהchâyâhto live, whether literally or figuratively; causatively, to revive
- עָבַדʻâbadto work (in any sense); by implication, to serve, till, (causatively) enslave, etc.
- פָּקַדpâqadto visit (with friendly or hostile intent); by analogy, to oversee, muster, charge, care f
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.