2 Wafalme 1:6
Wakamjibu, “Mtu mmoja alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” ’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- בַּעַל זְבוּבBaʻal ZᵉbûwbBaal-Zebub, a special deity of the Ekronites
- עֶקְרוֹןʻEqrôwnEkron, a place in Palestine
- מִטָּהmiṭṭâha bed (as extended) forsleeping or eating; by analogy, a sofa, litter or bier
- קִרְאָהqirʼâhan encountering, accidental, friendly or hostile (also adverbially, opposite)
- דָּרַשׁdârashproperly, to tread or frequent; usually to follow (for pursuit or search); by implication,
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- שָׁלַחshâlachto send away, for, or out (in a great variety of applications)
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
