MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Yohana 1:9

Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Al-Masihi bali ameyaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.

Soma katika muktadha

2 Yohana 1:9 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2jn/1/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Yohana 1:9 — MEGA.Bible"></iframe>