2 Wakorintho 8:9
Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi, kwamba ingawa alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa maskini, ili kwa umaskini wake ninyi mpate kuwa matajiri.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- πτωχεύωptōcheúōto be a beggar, i.e. (by implication) to become indigent (figuratively)
- πτωχείαptōcheíabeggary, i.e. indigence (literally or figuratively)
- πλουτέωploutéōto be (or become) wealthy (literally or figuratively)
- πλούσιοςploúsioswealthy; figuratively, abounding with
- χάριςchárisgraciousness (as gratifying), of manner or act (abstract or concrete; literal, figurative
- ὤνṓnbeing
- γινώσκωginṓskōto "know" (absolutely) in a great variety of applications and with many implications (as f
- ὑμεῖςhymeîsyou (as subjective of verb)
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.