2 Wakorintho 7:14
Nilikuwa nimewasifu ninyi kwake, nanyi hamkuniaibisha. Lakini kama vile yale yote tuliyowaambia yalikuwa kweli, hivyo kule kujisifu kwetu kwa Tito kuwahusu ninyi kumethibitishwa kuwa kweli pia.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- καταισχύνωkataischýnōto shame down, i.e. disgrace or (by implication) put to the blush
- καύχησιςkaúchēsisboasting (properly, the act; by implication, the object), in a good or a bad sense
- ΤίτοςTítosTitus, a Christian
- καυχάομαιkaucháomaito vaunt (in a good or a bad sense)
- εἴ τιςeí tisif any
- ἀλήθειαalḗtheiatruth
- ὑπέρhypér"over", i.e. (with the genitive case) of place, above, beyond, across, or causal, for the
- οὕτωhoútōin this way (referring to what precedes or follows)
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.