2 Wakorintho 3:14
Lakini akili zao zilipumbazwa, kwa maana hadi leo utaji ule ule hufunika Torati inaposomwa. Huo utaji haujaondolewa, kwa maana ni katika Al-Masihi peke yake unaondolewa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ἀνακαλύπτωanakalýptōto unveil
- πωρόωpōróōto petrify, i.e. (figuratively) to indurate (render stupid or callous)
- ἀνάγνωσιςanágnōsis(the act of) reading
- κάλυμαkálymaa cover, i.e. veil
- νόημαnóēmaa perception, i.e. purpose, or (by implication) the intellect, disposition, itself
- παλαιόςpalaiósantique, i.e. not recent, worn out
- καταργέωkatargéōto be (render) entirely idle (useless), literally or figuratively
- διαθήκηdiathḗkēproperly, a disposition, i.e. (specially) a contract (especially a devisory will)
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Co 4:3–4, Act 26:18, Rom 11:25, Jhn 12:40, Eph 1:17–20, 2Co 4:6, Rom 11:7–10, Jhn 8:12