Mfalme akatumia hiyo miti ya msandali kuwa ngazi kwa ajili ya Hekalu la Mwenyezi Mungu na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa Yuda tangu siku ile.)
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/9/11" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 9:11 — MEGA.Bible"></iframe>