Sulemani pia akajenga Baalathi na miji yake yote ya kuhifadhia vitu, na miji kwa ajili ya magari yake ya vita na kwa ajili ya farasi wake, chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni na katika nchi yote aliyotawala.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/8/6" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 8:6 — MEGA.Bible"></iframe>