MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 29:7

Pia walifunga milango ya ukumbi wa Hekalu na kuzima taa zake. Hawakufukiza uvumba wala kutoa sadaka yoyote ya kuteketezwa katika mahali patakatifu kwa Mungu wa Israeli.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/29/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 29:7 — MEGA.Bible"></iframe>