MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 29:15

Walipomaliza kuwakusanya ndugu zao na kujiweka wakfu, wakaingia ndani ili kutakasa Hekalu la Mwenyezi Mungu, kama vile mfalme alivyokuwa ameagiza, kwa kufuata neno la Mwenyezi Mungu.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

God

Marejeleo mtambuka

1Ch 23:28, 2Ch 30:12, 2Ch 29:5

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/29/15" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 29:15 — MEGA.Bible"></iframe>