2 Mambo Ya Nyakati 28:15
Kisha watu waliotajwa kwa majina wakawachukua wale mateka, na kutoka zile nyara wakachukua mavazi, wakawavika wale wafungwa wote waliokuwa uchi. Wakawapatia nguo na viatu, chakula na cha kunywa, wakawapa matibabu, wote waliokuwa dhaifu miongoni mwao wakawapandisha juu ya punda, wakawaleta ndugu zao Yeriko, ndio Mji wa Mitende, kisha wakarudi Samaria.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מַעֲרֹםmaʻărômbare
- עִיר הַתְּמָרִיםʻÎyr hat-TᵉmârîymIr-hat-Temarim, a place in Palestine
- נָעַלnâʻalproperly, to fasten up, i.e. with abar or cord; hence, to sandal, i.e. furnish with slippe
- שִׁבְיָהshibyâhexile (abstractly or concretely and collectively)
- נָהַלnâhalproperly, to run with asparkle, i.e. flow; hence (transitively), to conduct, and (by infer
- סוּךְçûwkproperly, to smear over (with oil), i.e. anoint
- תָּמָרtâmâra palm tree
- נָקַבnâqabto puncture, literally (to perforate, with more or less violence) or figuratively (to spec
+maneno 17 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Pro 25:21–22, Deu 34:3, 2Ki 6:22, Jdg 1:16, Luk 6:27, 1Jn 3:17–18, Isa 58:7, Mat 25:35–45

