MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 26:23

Uzia akalala na baba zake, akazikwa karibu nao katika shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma.” Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/26/23" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 26:23 — MEGA.Bible"></iframe>