MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 26:20

Azaria kuhani mkuu pamoja na makuhani wengine wote walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na ukoma pajini lake, wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye mwenyewe alitamani kuondoka kwa sababu Mwenyezi Mungu alikuwa amempiga.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

Lev 14:34, Est 6:12, Deu 28:35, Deu 28:22

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/26/20" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 26:20 — MEGA.Bible"></iframe>