2 Mambo Ya Nyakati 26:20
Azaria kuhani mkuu pamoja na makuhani wengine wote walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na ukoma pajini lake, wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye mwenyewe alitamani kuondoka kwa sababu Mwenyezi Mungu alikuwa amempiga.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- דָּחַףdâchaphto urge, i.e. hasten
- מֵצַחmêtsachthe forehead (as open and prominent)
- צָרַעtsâraʻto scourge, i.e. (intransitive and figurative) to be stricken with leprosy
- בָּהַלbâhalto tremble inwardly (or palpitate), i.e. (figuratively) be (causative, make) (suddenly) al
- עֲזַרְיָהʻĂzaryâhAzarjah, the name of nineteen Israelites
- פָּנָהpânâhto turn; by implication, to face, i.e. appear, look, etc.
- נָגַעnâgaʻproperly, to touch, i.e. lay the hand upon (for any purpose; euphemistically, to lie with
- רֹאשׁrôʼshthe head (as most easily shaken), whether literal or figurative (in many applications, of
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.