2 Mambo Ya Nyakati 26:18
Wakamkabili na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia, kumfukizia Mwenyezi Mungu uvumba. Hiyo ni kazi ya makuhani, wazao wa Haruni, ambao wamewekwa wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe hutaheshimiwa na Bwana Mwenyezi Mungu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עֻזִּיָּהʻUzzîyâhUzzijah, the name of five Israelites
- מָעַלmâʻalproperly, to cover up; used only figuratively, to act covertly, i.e. treacherously
- מִקְדָּשׁmiqdâsha consecrated thing or place, especially, a palace, sanctuary (whether of Jehovah or of id
- קָטַרqâṭarto smoke, i.e. turn into fragrance by fire (especially as an act of worship)
- קָדַשׁqâdashto be (causatively, make, pronounce or observe as) clean (ceremonially or morally)
- כָּבוֹדkâbôwdproperly, weight, but only figuratively in a good sense, splendor or copiousness
- אַהֲרוֹןʼAhărôwnAharon, the brother of Moses
- עָמַדʻâmadto stand, in various relations (literal and figurative, intransitive and transitive)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.