MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 26:11

Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi lililofunzwa vizuri, lililokuwa tayari kwenda vitani kwa vikosi kufuatana na idadi yao kama walivyokusanywa na Yeieli mwandishi na Maaseya msimamizi chini ya maelekezo ya Hanania, mmoja wa maafisa wa mfalme.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

2Ki 5:2

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/26/11" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 26:11 — MEGA.Bible"></iframe>