MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 21:17

Wakaishambulia Yuda, wakaivamia na kuchukua mali yote iliyopatikana katika jumba la mfalme pamoja na wanawe na wake zake. Hakubakiziwa mwana yeyote isipokuwa Ahazia aliyekuwa mdogo wa wote.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/21/17" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 21:17 — MEGA.Bible"></iframe>