Lakini umeenenda katika njia za wafalme wa Israeli, nawe umewaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu kuzini, kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya. Pia umewaua ndugu zako mwenyewe, watu wa nyumbani mwa baba yako, watu waliokuwa bora kuliko wewe.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/21/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 21:13 — MEGA.Bible"></iframe>