Mfalme akawaambia Yuda, “Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupatia amani kila upande.” Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/14/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 14:7 — MEGA.Bible"></iframe>