1 Wathesalonike 5:12
Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana Isa na ambao wanawaonya.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- νουθετέωnouthetéōto put in mind, i.e. (by implication) to caution or reprove gently
- προΐστημιproḯstēmito stand before, i.e. (in rank) to preside, or (by implication) to practise
- κοπιάωkopiáōto feel fatigue; by implication, to work hard
- ἐρωτάωerōtáōto interrogate; by implication, to request
- ἀδελφόςadelphósa brother (literally or figuratively) near or remote (much like G1 (Α))
- ὑμᾶςhymâsyou (as the objective of a verb or preposition)
- ὑμῶνhymōnof (from or concerning) you
- ὁhothe (sometimes to be supplied, at others omitted, in English idiom)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.