MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 5:9

Lakini baada ya kulihamisha, mkono wa Mwenyezi Mungu ulikuwa dhidi ya huo mji wa Gathi, akiuweka katika fadhaa kuu. Mungu akawatesa watu wa huo mji, vijana kwa wazee, kwa kuwaletea majipu.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Wapi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/5/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 5:9 — MEGA.Bible"></iframe>