1 Samweli 5:7
Watu wa Ashdodi walipoona kile kilichokuwa kikitokea, wakasema, “Sanduku la Mungu wa Israeli kamwe lisikae hapa pamoja na sisi, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya Dagoni mungu wetu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- דָּגוֹןDâgôwnDagon, a Philistine deity
- אַשְׁדּוֹדʼAshdôwdAshdod, a place in Palestine
- קָשָׁהqâshâhproperly, to be dense, i.e. tough or severe (in various applications)
- אָרוֹןʼârôwna box
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
- יָשַׁבyâshabproperly, to sit down (specifically as judge. in ambush, in quiet); by implication, to dwe
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
