1 Samweli 4:13
Alipofika, Eli alikuwa ameketi kwenye kiti chake kando ya barabara akiangalia, kwa sababu moyo wake ulikuwa na hofu kwa ajili ya Sanduku la Mungu. Mtu yule alipoingia mjini na kueleza kilichokuwa kimetokea, mji wote ukalia.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- יַךְyaka hand or side
- חָרֵדchârêdfearful; also reverential
- עֵלִיʻÊlîyEli, an Israelite highpriest
- צָפָהtsâphâhproperly, to lean forward, i.e. to peer into the distance; by implication, to observe, awa
- זָעַקzâʻaqto shriek (from anguish or danger); by analogy, (as a herald) to announce or convene publi
- כִּסֵּאkiççêʼproperly, covered, i.e. a throne (as canopied)
- אָרוֹןʼârôwna box
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Sa 1:9, 1Sa 4:18, Psa 79:1–8, Jos 7:9, Neh 1:3–4, Psa 137:4–6, Psa 26:8
