1 Samweli 4:10
Basi Wafilisti wakapigana, nao Waisraeli wakashindwa na kila mtu akakimbilia kwenye hema lake. Mauaji yalikuwa makubwa sana, Israeli wakapoteza askari elfu thelathini walioenda kwa miguu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רַגְלִיraglîya footman (soldier)
- מַכָּהmakkâha wound; figuratively, carnage, also pestilence
- נָגַףnâgaphto push, gore, defeat, stub (the toe), inflict (a disease)
- נוּסnûwçto flit, i.e. vanish away (subside, escape; causatively, chase, impel, deliver)
- לָחַםlâchamto feed on; figuratively, to consume; by implication, to battle (as destruction)
- שְׁלוֹשִׁיםshᵉlôwshîymthirty; or (ordinal) thirtieth
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
- מְאֹדmᵉʼôdproperly, vehemence, i.e. (with or without preposition) vehemently; by implication, wholly
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.