1 Samweli 31:7
Waisraeli waliokuwa kando ya bonde na wale waliokuwa ng’ambo ya Yordani walipoona kuwa jeshi la Waisraeli limekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaacha miji yao na kukimbia. Nao Wafilisti wakaenda na kukaa humo.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- עֵמֶקʻêmeqa vale (i.e. broad depression)
- עֵבֶרʻêberproperly, a region across; but used only adverbially (with or without a preposition) on th
- נוּסnûwçto flit, i.e. vanish away (subside, escape; causatively, chase, impel, deliver)
- יַרְדֵּןYardênJarden, the principal river of Palestine
- עָזַבʻâzabto loosen, i.e. relinquish, permit, etc.
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

