1 Samweli 30:3
Daudi na watu wake walipofika Siklagi, wakakuta mji umeangamizwa kwa moto na wake zao pamoja na wana wao wa kiume na wa kike wamechukuliwa mateka.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- שָׁבָהshâbâhto transport into captivity
- שָׂרַףsâraphto be (causatively, set) on fire
- אֵשׁʼêshfire (literally or figuratively)
- בַּתbatha daughter (used in the same wide sense as other terms of relationship, literally and figu
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
- אִשָּׁהʼishshâha woman
- עִירʻîyra city (a place guarded by waking or a watch) in the widest sense (even of a mere encampme
- דָּוִדDâvidDavid, the youngest son of Jesse
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
