1 Samweli 30:21
Kisha Daudi akafika kwa wale watu mia mbili waliokuwa wamechoka sana kumfuata na ambao waliachwa nyuma kwenye Bonde la Besori. Wakatoka kwenda kumlaki Daudi na wale watu aliokuwa nao. Daudi na watu wake walipowakaribia, akawasalimu.1 Samweli 30:21 katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- פָּגַרpâgarto relax, i.e. become exhausted
- בְּשׂוֹרBᵉsôwrBesor, a stream of Palestine
- נָגַשׁnâgashto be or come (causatively, bring) near (for any purpose); euphemistically, to lie with a
- קִרְאָהqirʼâhan encountering, accidental, friendly or hostile (also adverbially, opposite)
- נַחַלnachala stream, especially a winter torrent; (by implication) a (narrow) valley (in which a broo
- שָׁאַלshâʼalto inquire; by implication, to request; by extension, to demand
- שָׁלוֹםshâlôwmsafe, i.e. (figuratively) well, happy, friendly; also (abstractly) welfare, i.e. health, p
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
