MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 29:4

Lakini majemadari wa Wafilisti wakamkasirikia na kusema, “Mrudishe mtu huyu, apate kurudi mahali pale ulipompangia. Haimpasi kufuatana pamoja nasi vitani, asije akageuka, akawa kinyume chetu vitani. Ni kwa njia ipi bora zaidi angeweza kujipatia tena kibali kwa bwana wake, isipokuwa kwa vichwa vya watu wetu wenyewe?

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

1Sa 14:21, 1Sa 27:6, 1Ch 12:19, Luk 16:8

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/29/4" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 29:4 — MEGA.Bible"></iframe>