1 Samweli 29:4
Lakini majemadari wa Wafilisti wakamkasirikia na kusema, “Mrudishe mtu huyu, apate kurudi mahali pale ulipompangia. Haimpasi kufuatana pamoja nasi vitani, asije akageuka, akawa kinyume chetu vitani. Ni kwa njia ipi bora zaidi angeweza kujipatia tena kibali kwa bwana wake, isipokuwa kwa vichwa vya watu wetu wenyewe?Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- שָׂטָןsâṭânan opponent; especially (with the article prefixed) Satan, the arch-enemy of good
- קָצַףqâtsaphto crack off, i.e. (figuratively) burst out in rage
- רָצָהrâtsâhto be pleased with; specifically, to satisfy adebt
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
- פָּקַדpâqadto visit (with friendly or hostile intent); by analogy, to oversee, muster, charge, care f
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- מִלְחָמָהmilchâmâha battle (i.e. the engagement); generally, war (i.e. warfare)
- מָקוֹםmâqôwmproperly, a standing, i.e. a spot; but used widely of a locality (general or specific); al
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.