1 Samweli 24:4
Watu wa Daudi wakasema, “Hii ndiyo siku aliyonena Mwenyezi Mungu akikuambia, ‘Nitamtia adui yako mikononi mwako ili wewe umtendee utakavyo.’ ” Basi Daudi akanyemelea bila kuonekana na kukata upindo wa joho la Sauli.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- לָטlâṭproperly, covered, i.e. secret; by implication, incantation; also secrecy or (adverb) cove
- מְעִילmᵉʻîyla robe (i.e. upper and outer garment)
- כָּנָףkânâphan edge or extremity; specifically (of a bird or army) a wing, (of a garment or bedclothin
- יָטַבyâṭabto be (causative) make well, literally (sound, beautiful) or figuratively (happy, successf
- אֹיֵבʼôyêbhating; an adversary
- כָּרַתkârathto cut (off, down or asunder); by implication, to destroy or consume; specifically, to cov
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Sa 26:8–11, 1Sa 24:10, 1Sa 26:23, 1Sa 25:28–30, 1Sa 23:17, 1Sa 24:18, 1Sa 23:7, Job 31:31