1 Samweli 22:6
Basi Sauli akasikia kwamba Daudi na watu wake wameonekana. Sauli akiwa na mkuki mkononi, alikuwa ameketi chini ya mti wa mkwaju kwenye kilima huko Gibea, maafisa wake wote wakiwa wamesimama kumzunguka.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- אֵשֶׁלʼêshela tamarisk tree; by extension, a grove of any kind
- רָמָהRâmâhRamah, the name of four places in Palestine
- גִּבְעָהGibʻâhGibah; the name of three places in Palestine
- חֲנִיתchănîytha lance (for thrusting, like pitching a tent)
- נָצַבnâtsabto station, in various applications (literally or figuratively)
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- אֱנוֹשׁʼĕnôwsha man in general (singly or collectively)
- עֶבֶדʻebeda servant
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
