1 Samweli 20:3
Lakini Daudi akaapa na kusema, “Baba yako anajua kabisa kwamba nimepata kibali mbele yako, naye amesema moyoni mwake, ‘Yonathani sharti asilijue hili, la sivyo atahuzunika.’ Lakini hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo na kama uishivyo, kuna hatua moja tu kati yangu na mauti.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- פֶּשַׂעpesaʻa stride
- עָצַבʻâtsabproperly, to carve, i.e. fabricate or fashion; hence (in a bad sense) to worry, pain or an
- אוּלָםʼûwlâmhowever or on the contrary
- חֵןchêngraciousness, i.e. subjective (kindness, favor) or objective (beauty)
- יְהוֹנָתָןYᵉhôwnâthânJehonathan, the name of four Israelites
- מָוֶתmâvethdeath (natural or violent); concretely, the dead, their place or state (hades); figurative
- שָׁבַעshâbaʻto seven oneself, i.e. swear (as if by repeating a declaration seven times)
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.