MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 20:3

Lakini Daudi akaapa na kusema, “Baba yako anajua kabisa kwamba nimepata kibali mbele yako, naye amesema moyoni mwake, ‘Yonathani sharti asilijue hili, la sivyo atahuzunika.’ Lakini hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo na kama uishivyo, kuna hatua moja tu kati yangu na mauti.”

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/20/3" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 20:3 — MEGA.Bible"></iframe>