MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 20:13

Lakini ikiwa baba yangu amenuia kukudhuru, Mwenyezi Mungu na aniadhibu vikali zaidi iwapo sitakufahamisha na kukuaga uende salama. Mwenyezi Mungu na awe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.

Soma katika muktadha

1 Samweli 20:13 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/20/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 20:13 — MEGA.Bible"></iframe>