1 Samweli 19:24
Akavua majoho yake na pia akatoa unabii mbele ya Samweli. Akalala hali hiyo ule mchana kutwa na usiku kucha. Hii ndiyo sababu watu husema, “Je, Sauli pia yumo miongoni mwa manabii?”1 Samweli 19:24 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- עָרוֹםʻârôwmnude, either partially or totally
- גַּםgamproperly, assemblage; used only adverbially also, even, yea, though; often repeated as cor
- פָּשַׁטpâshaṭto spread out (i.e. deploy in hostile array); by analogy, to strip (i.e. unclothe, plunder
- נָבָאnâbâʼto prophesy, i.e. speak (or sing) by inspiration (in prediction or simple discourse)
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- בֶּגֶדbegeda covering, i.e. clothing; also treachery or pillage
- לַיִלlayilproperly, a twist (away of the light), i.e. night; figuratively, adversity
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.