1 Samweli 19:22
Mwishowe, yeye mwenyewe akaondoka kwenda Rama na kwenda hadi kwenye kile kisima kikubwa kilichoko huko Seku. Naye akauliza, “Wako wapi Samweli na Daudi?” Wakasema, “Wako Nayothi huko Rama.”1 Samweli 19:22 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- שֵׂכוּSêkûwSeku, a place in Palestine
- נָוִיתNâvîythNavith, a place in Palestine
- אֵיפֹהʼêyphôhwhat place?; also (of time) when?; or (of means) how?
- רָמָהRâmâhRamah, the name of four places in Palestine
- בּוֹרbôwra pit hole (especially one used as a cistern or a prison)
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- שָׁאַלshâʼalto inquire; by implication, to request; by extension, to demand
- גָּדוֹלgâdôwlgreat (in any sense); hence, older; also insolent
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

