MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 17:49

Daudi akatia mkono wake mfukoni na kuchukua jiwe, akalirusha kwa kombeo, nalo likampiga yule Mfilisti kwenye paji la uso. Lile jiwe likaingia kipajini mwa uso, akaanguka kifudifudi.

Soma katika muktadha

1 Samweli 17:49 katika ulimwengu halisi

Nani

David

Marejeleo mtambuka

1Co 1:27–28, 2Ki 9:24, 1Ki 22:34

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/17/49" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 17:49 — MEGA.Bible"></iframe>