1 Samweli 17:37
Mwenyezi Mungu ambaye aliniokoa toka katika makucha ya simba na makucha ya dubu ataniokoa kutoka mikono ya huyu Mfilisti.” Sauli akamwambia Daudi, “Nenda, naye Mwenyezi Mungu na awe pamoja nawe.”1 Samweli 17:37 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- דֹּבdôbthe bear (as slow)
- אֲרִיʼărîya lion
- נָצַלnâtsalto snatch away, whether in a good or a bad sense
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- דָּוִדDâvidDavid, the youngest son of Jesse
- יָלַךְyâlakto walk (literally or figuratively); causatively, to carry (in various senses)
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Ti 4:17–18, Psa 138:7–8, 2Co 1:9–10, Psa 18:16–17, Psa 63:7, 1Ch 22:11, 1Sa 20:13, 1Sa 7:12