1 Samweli 16:7
Lakini Mwenyezi Mungu akamwambia Samweli, “Usitazame sura yake wala kimo chake, kwa kuwa nimemkataa. Mwenyezi Mungu hatazami katika vile vitu mwanadamu avitazamavyo. Mwanadamu hutazama katika sura ya nje, lakini Mwenyezi Mungu hutazama moyoni.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- גָּבֹהַּgâbôahhelevated (or elated), powerful, arrogant
- קוֹמָהqôwmâhheight
- מָאַסmâʼaçto spurn; also (intransitively) to disappear
- נָבַטnâbaṭto scan, i.e. look intently at; by implication, to regard with pleasure, favor or care
- מַרְאֶהmarʼeha view (the act of seeing); also an appearance (the thing seen), whether (real) a shape (e
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- לֵבָבlêbâbthe heart (as the most interior organ);
- אָדָםʼâdâmruddy i.e. a human being (an individual or the species, mankind, etc.)
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jhn 7:24, Jer 17:10, Luk 16:15, 1Pe 3:4, Isa 55:8–9, Pro 16:2, Pro 31:30, Psa 147:10–11